Kuhusu sisi Tanzania Youth Education Forum

Lengo na Madhumuni ni kuwa na jamii iliyoelimika kwa ajili ya kutengeneza Taifa bora la kesho

Tunatoa hamasa katika masuala ya kielimu na kusaidia watoto waliopo katika mazingira magumu kwa kuwanunulia mahitaji muhimu ya shule na kutoa elimu mbalimbali.

Mahitaji
Kwa ajili ya Elimu
Misaada
Wanafunzi wote
Elimu
Watoto wa kike
Mazingira
Kwa watoto wote