LENGO NA MADHUMUNI
Kuwa na jamii iliyoelemika kwa ajili ya kutengeneza Taifa bora la kesho.
Kutoa hamasa katika masuala ya kielimu na kusaidia watoto walio katika mazingira magumu
Angalia hamasa zetuKuwasomesha na kuwanunulia mahitaji muhimu yanayohitajika shuleni kwa ajili ya kuendelea na masomo yao
Misaada yetu Angalia zaidiKutoa elimu mbalimbali kama za Afya, Masuala ya kijinsia na mengineyo yanayohusu ukuaji wa jamii.
Gusa kuona zaidi